London marathon 2019

London marathon 2019

Architect E.M

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
1,222
Reaction score
1,425
Habari wakuu...

Leo ni siku virgin london marathon inafanyika.. nimeanzisha uzi huu tupeane updates za kinachoendelea...

hakuna mtanzania anayetuwakilisha???. Wapi alphonce simbu?? Riadha TZ wapi tunakwama??

Tunasubiri kuona matokeo ya vita kali kati ya eliud kipchoge mkenya na mo farah muingereza mwenye asili ya somalia / ethiopia kama sikosei.

DSTV mnafeli saaaannaa. Supersport 5 inayoonesha mashindano hayo eti inaoneshwa kwenye kifurushi cha 110,000... mmenifanya nikaangalizie mbio hizo bar.. mmefeli kwa hilo. Walau mngeiweka kwenye kifurushi cha 69,000.

All in all tupeane updates wakuu.
 
Nimesikia leo kuna binti wa kitanzania katuwakilisha vyema huko humbarg ujerumani.. amekua mshindi wa tatu... heko kwako failuna matanga.. kutuwakilisha.... alikua pia mshindi wa pili kilimarathon 2019
 
At last
 

Attachments

  • Screenshot_20190428-143422.jpg
    Screenshot_20190428-143422.jpg
    135.8 KB · Views: 18
Back
Top Bottom