loneliness is killing me softly


in the club with who, madam. Seems u know some other lonely hearts
 
inawezekana unaachwa wewe kwasababu kwanza hujui kumcare bint au mapenzi hujui pole sana haya mambo waachie wengine kijana kama kina babaubaya:lol:
 
Jamaa yangu aliwahi kwenda kumtembelea mchumba wake kwenye mji alokuwa akisoma. Kituko alichokikuta akaapa kutopenda tena.
Akaanza tabia ya MY DEAR BOTTLE. Baada ya kupita miaka kadhaa akiwa club moja akiwa amemkumbatia safari lager wake akakuta anamshangaa mhudumu badala ya safari lager yake. Kilichofata baada ya hapo unaweza kuhisi ni nini! Niongeapoa sasa hivi yule mhudumu wa pale club ana masters yake aloipata pale tumaini university.
So pamoja na makosa ya kiufundi mkuu bado mambo hubadilika.
There is someone who is driving towards your direction! Soon mtaanza kutafuta namna ya kupishana kama sio parking area. Its never too late!
 
34 years old duh
utapata ushauri mzuri tu wa kukusaidia hapa
 
there is no situation that is wasted in the eyes of God.dont focus on hayo makosa yaliyopita,begin to look at where you are going.something good is about to happen in your life,believe na utampata wa kukupenda
 
I'm one of them!Yaani tunafanana kabisa hata umri nao ni tofauti kidogo sana,mimi nimeamua kuwa mtazamaji,na nimekua mtazamaji kwa miaka 3 sasa,nafikiri nahitaji nifikiri vinginevyo kwani umri nao ni tatizo,ila kazi tunayo kwa wanawake wa dotcom hawa!
 
Pole,nadhani bado huja penda kweli unatamani lakini hujapenda.
 
teh teh relax jehovah is in charge here ... Mi huwa nanywea nikifiria hii situation ...lakini najipa moyo mteule wangu anaandaliwa one day yes ...
Kwani hiyo ndio imebaki katika priority zako ? Kama ndio ongeza maombi soon utaletewa wako mteule
 
Kwa hiyo miaka tafuta mjane au aliyeachika.
 
Mali ni kitu mtu arithi toka kwa wazazi, (siku hizi aweza kutafuta pia) Bali mke mwema, mtu hupewa na BWANA. Kwa mantiki hiyo, muulize BWANA kulikoni?
 
Kwa hiyo miaka tafuta mjane au aliyeachika.

Ayi we Mamdenyi, mbona wamkatisha tamaa hivyo jameni? Mie nawajua wadada aged singles wengi tu hawajafanikiwa na wana kila sifa nzuri. Inawezekana kumpata mdada ambaye hajawahi kuolewa wala kuachika na wala hana mtoto. Jipe moyo. Muulize BWANA kama weye Mkristo.
 
Inawezekana ukawa unaangalia wanawake wa mbali na kwa vigezo vya juu sana wakati mtu sahihi yupo hapo jirani yako. Badilisha mtazamo kisha jaribu kuangalia upya walio hapo jirani yako unaweza ukamwona anayefaa. Uzoefu unaonyesha kuwa hawa viumbe wote ni sawa na ni warembo kwa watu wanaoishi nao hili haijalishi kabila, elimu, sura, kimo etc.
 
Too young to die my dia, hebu ongeza maombi na Mungu atakutendea.
 
Labda mdau hapa kuna mis information kuhusu wewe zinamis kwa mfano:
1. Unaishi nchi gani au mji gani?
2. Imaani yako katika dini wewe ni mlokole au mwislamu wa imani kali?
3. Una financial harassment au kipato chako sio kibaya Avarage. ( usipotoshwe eti pesa haina nafasi kwenye mapenzi!! )
4. Una uhakika wewe ni mwanaume kamili? maana vibamia sio chaguop la wadada walio wengi.
Ukiweza kujibu maswali hayo hapo juu basi ni rahisi kukupa ushauri thabiti.
 

mkuu nashukuru kwa haya maneno yenye faraja. Hakuna linaloshindikana kweli. Na wanaosema sijui kujali wanakosea
 
there is no situation that is wasted in the eyes of God.dont focus on hayo makosa yaliyopita,begin to look at where you are going.something good is about to happen in your life,believe na utampata wa kukupenda

very touching. Thanks!
 
Nikijibu kiujumla kutokana na maoni yenu ni kuwa mi ni rijali, najua kujali, labda kama ilivyosemwa huko juu kuwa ni tatizo la kimtazamo zaidi na mindset. Kifupi sina dosari yoyote ya kimuonekano, labda dosari za ndani as far as the mind is concerned. Nichukue tu maoni ya wadau katika kuwekeza kwenye maombi
 
eeh ulikuwa wap? Natumain umewah muumiza mtu au watu b4 so kumbuka ni nan kaombe msamaha usicheze na manung'uniko ya mtu n laana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…