Lonely Heart

akifanya hivi
ntajua love is colour blind
and some men has this disease
but marriage is bansen banner
will burn him hard

Embu kwenda huko. . .
John kashasema "OUR first date" kwahiyo kaa chonjo bibie!!
 

Kwahiyo we unataka John akuoe ili apate sifa wakati ndani analizwa kama Ndikumana?Lolz
 
akifanya hivi
ntajua love is colour blind
and some men has this disease
but marriage is bansen banner
will burn him hard
Hhehehehe!!Unalooooo. . . utaishia kupiga ngoma kwa wenzio!!
 
alizwe kwa
massage?
pillow fighting?
water fighting?
tongue fighting?

Kwahiyo we unataka John akuoe ili apate sifa wakati ndani analizwa kama Ndikumana?Lolz
 
ujue ntakufukuza mie mwenyewe
nilikukaribisha ukiwa na mfuko wa rambo

sasa naona unataka kuzoea hapa nyumbani
hebu kawalishe wale chihua hua wangu

Duh...vipi TB hakutoshi??? au we na mali zake tu??
 
huyo yuko hapa
katulia
anakunywa maziwa mweeeh.

Hako kalikuwa ka mgagani ka kuomja tu

Ka small house ka kutoka nacho valentine, naskia TB atakuwa mererani!!
 
I am looking for a woman aged between 18 to 24 , for dating and possibly marriage. Email :kadidi123@yahoo.com
You are too selfish brother, ... a woman aged 18 - 24 for ..., and what about your age? weka terms of reference tuzijue. Hata huyo wa 18 - 24 ana haki za kufahamu umri wako pia. Je kama una miaka 70??
 
Lizzy & Kongosho!
Nyie watu wabaya sana! Hebu oneni sasa mmeshamwogopesha kijana wa watu mpka amekimbia!
 
ujue ntakufukuza mie mwenyewe
nilikukaribisha ukiwa na mfuko wa rambo

sasa naona unataka kuzoea hapa nyumbani
hebu kawalishe wale chihua hua wangu

Yaishe bi mkubwa,sikuwa na nia mbaya....ujitahidi tu urudi salama,ukiwa salama nami na TB tuko salama...i trust you!
 
Ka small house ka kutoka nacho valentine, naskia TB atakuwa mererani!!

Kipipi,mi wa ndani sijui atakakokuwa TB,iweje mwenzangu una details zote hizi?? kazi kweli kweli,sijui nitegemee nini??
 
I am looking for a woman aged between 18 to 24 , for dating and possibly marriage. Email :kadidi123@yahoo.com

Sasa si ungeenda kule love connect kama kweli upo sirias.Halfu siku hizi mbona hizi lonelyness zimezidi hapa JF ???kuna nini?
 
Sasa si ungeenda kule love connect kama kweli upo sirias.Halfu siku hizi mbona hizi lonelyness zimezidi hapa JF ???kuna nini?
lonelyness sikuzote zipo isipo kuwa sasa w2 tunafunguka kwa jamii yetu tofauti na zamani.
 
Sasa si ungeenda kule love connect kama kweli upo sirias.Halfu siku hizi mbona hizi lonelyness zimezidi hapa JF ???kuna nini?
Sikuwa nikiifahamu Love connect , ila nashukuru na post yangu numepeleke huko vilevile.
 
You are too selfish brother, ... a woman aged 18 - 24 for ..., and what about your age? weka terms of reference tuzijue. Hata huyo wa 18 - 24 ana haki za kufahamu umri wako pia. Je kama una miaka 70??
bado niko kijana , makamo ya mika 25.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…