LGE2024 Longido: Polisi Jamii watoa Elimu ya Mpiga Kura kwa wananchi

LGE2024 Longido: Polisi Jamii watoa Elimu ya Mpiga Kura kwa wananchi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
1732035944598.png

Wakazi wa Longido wamepatiwa elimu ya mpiga kura ili kuepuka makosa wakati wa uchaguzi. Mkuu wa Polisi Jamii Wilaya ya Longido, ASP Tausi Mbalamwezi, amesema elimu hiyo inalenga kuwapa wananchi uelewa wa mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa uchaguzi.

Pia ameongeza kuwa baada ya elimu hiyo hatotarajia mwananchi kuvunja sheria kutokana na elimu hiyo.

Kupata mijadala ya kimkoa kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
 

Wakazi wa Longido wamepatiwa elimu ya mpiga kura ili kuepuka makosa wakati wa uchaguzi. Mkuu wa Polisi Jamii Wilaya ya Longido, ASP Tausi Mbalamwezi, amesema elimu hiyo inalenga kuwapa wananchi uelewa wa mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa uchaguzi.

Pia ameongeza kuwa baada ya elimu hiyo hatotarajia mwananchi kuvunja sheria kutokana na elimu hiyo.
ukishapiga kura nenda nyumbani moja kwa moja usuburi matokeo kupitia radio stations ana Tv stations 🐒
 
Back
Top Bottom