Look alike. . .

hheheh..uminikumbusha wewe!!!
binti wa kinyaturu...tumekutana mkoani...kanambia wafanana na pacha wangu yuko TPDF..yani copyright! mwili wako wa mazoezi, tabasamu, rangi ya mwili...duh...kaanza mwenyewe kuniita kaka...yalipokuja kubadilika....sijui...maana kama naitwa mpenzi siku hizi...huku kufananishana huku???
asavali mi namfananishaga mshkaji wangu na zitto...ni mbishi huyoooo!!!!
 

hasa ukutane na dada au kaka anafanana na umpendaye yaani unahisi uko anaother world aisee....
 
Kuna dada hadi leo nampenda... anafanana mno na marehemu mamangu mdogo alikufa really young. Hata hatujazoeana nae na wala siwezi thubutu kumwambia afanana na marehem, but I like her.

Waweza tu kumwambia kua anafanana na mtu wako wa karibu/unayempenda sana.
 

kweli wewe mentor...
 

Maskini kaka wa watu. . .
Ukute mwenyewe anavutiwa na wewe mpaka basi. Jitahidi bana hako kachuki kayeyukie mbali.
 
Yeap!!
Even humu jamvini kuna mtu nampenda, tokana na kwamba ananikumbusha mtu flani ambae nahisi kumfananisha nae!!

Hhhmmm. . .nani huyo kakondoo? Tuambie tufurahie bana.
 
Hahahahaha we Mentor nawe. . .
Yani ukakubali kaka awe mupenzi?
 
Isije ikakukuta hile story ya video ya dmx up in here(mistaken identity)
 
Sijui alimkimbia jamaa ake gesti.
Mie naingia getini niko kwa mbali, naona mtu ananisonta, umati mzima unanigeukia na kuanza njoo hapa.

Jamaa mwenyewe kiswahili hakipandi, mie na kingereza hatuendani.

Magoti yalilegea yoote, thank God nilipokaribia akasema siye, mijitu nikaisikia 'aaah, bahati yako'
Nilikimbia kwenda home, maana nikaona ishakuwa balaa, ila nilimjua aliyefanya kitendo kile sababu watu walikuwa wanatufananisha sana.

Embu funguka bana Konnie. . . au ushasahau mimi niko kifamilia zaidi? Lolz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…