atawapata tu,dada zetu hawana noma wana roho ya paka
Just PM me . . .lool!!
Umeona masharti na vigezo kuzingatiwa mamaa,,,!!!
Heheh mi yangu macho tu na masikio!!!
Vipi . . . . hutaki hiyo offer besti? lol
Mwenzngu hapa naiwaza,bt ajajieleza wa wapi,,,nakapenda karoho kangu mwaya
Si kasema anatakaga kafriend tu!
Kwahiyo karoho kako katakuwa safe mwayego. lol