looking for a girl friend,

yassin94

Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
20
Reaction score
3
Hi members,

natafta girl friend sifa zifuatazo,
umri miaka-20-26,
Dini- yoyote,

Elimu- yoyote,
Kazi - vyovyote,

Rangi- awe mweupe wa asili.

aliyetayari ani pm,:israel:
 
hata me natafuta boyfriend sifa hizo hizo bt weupe nataka awe anatumia carolight, lol
 
anza ww kuniPM, am 23, nimemaliza kozi ya usekretary pale Zoom, ndo natafuta kazi.
 
Hongera kijana angalia na wewe usije ukaambiwa utume elfu 50 ya nauli.
 
Yaani najiskia m'bibi aisee. Kwanza nataka nitoke fesibuku, manake mtu anaanza kukutongoza aansema mi mkubwa nimezaliwa 1996. Im like wtf? Gimme ur papaa's #!
he he he, wee kizee unanipeperushia ndege wangu

ujue nimetumia gharama sana hadi yeye kuniPM?
 
he he he, mie fesibuku nimeibua msela nondo.

Nimebandika picha ya enzi niko sekendare skuli

Yaani najiskia m'bibi aisee. Kwanza nataka nitoke fesibuku, manake mtu anaanza kukutongoza aansema mi mkubwa nimezaliwa 1996. Im like wtf? Gimme ur papaa's #!
 
Usijali...ila kwa nini unataka mtumia mkorogo??

me mwenyewe hapa nilipo nimechubuka mungu hapendi, natafuta mwenzangu wa mkorogo ili asininyanyase na tukioana na kupata mtoto nae tutamchubua na macarolight....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…