Looking for a handsome man aged 32 - 40

memez

Senior Member
Joined
Jan 8, 2017
Posts
167
Reaction score
118
Looking for a handsome man aged 32_40..'He should be single and ready for something serious....Awe mrefu na sio mnene iiivo, ya awe na body zuri la mazoez....mwenye sifa hizo anitafute Dm...Iam 25 of age....Okay niliwai chat na mtu wa humu ila tulivyo meet kwa mara ya kwanza sikuvutiwa nae tukapotezeana.
 
Aah! Memez, unataka wa red carpet nn? Maana vigezo vyako siyo vya husband material. Ni vya mtu wa kula bata naye. Waoaji ni Wale wenye miiili ya Kilkolomije, miguu pande, kichwa bapa na mgogo pinda. Hawa wakikuoa wanaganda kama ruba. Utamdekisha nyumba nzima na atakufulia. Utaishi kama malkia.
 
mimi nina miaka 22 ila kwenye kwichi kwichi naeza kukukimbiza adi ukashika chupi mkononi vipi tunaeza kuongea? pia i know how to make Money work for us!
 
hahhahahahaha uwiiii[emoji2] [emoji7] [emoji7]
 
mimi nina miaka 22 ila kwenye kwichi kwichi naeza kukukimbiza adi ukashika chupi mkononi vipi tunaeza kuongea? pia i know how to make Money work for us!
you're crazy[emoji2] [emoji2] [emoji7]
 
Mi ninasifa hizo zote isipokuwa body la mazoezi ndo sina,karibu...
 
Sasa umri huo sijafika...kama vipi npm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…