Looking for a husband


Nimeipenda hiyo
 
Ameleta ujumbe kwa ajili ya rafiki yake...lakini uki-PM utapata mawasiliano na mhusika!

Mi mzima Gerald...hofu kwaku tu wewe!

Mimi Mzima sasa sifa zote nimezipenda ila napenda mtu mweupe so, itakuaje ushauri plse
 
Mimi Mzima sasa sifa zote nimezipenda ila napenda mtu mweupe so, itakuaje ushauri plse

Wapi shem michell naona kwenye msg moja kwa huyo dada anampiga biti kwa hashycool akimtumia pm amwambie
 
Mimi Mzima sasa sifa zote nimezipenda ila napenda mtu mweupe so, itakuaje ushauri plse

Sasa hapo kazi...kwangu mimi rangi si tatizo! Cha muhimu ni tabia, anaweza kuwa mweupe but baadaye akawa hana tabia njema! Na vizuri kufahamiana zaidi...! Kila la heri! Michelle yupo mtaa wa pili...ungepita huko ungemwona!
 
Sasa hapo kazi...kwangu mimi rangi si tatizo! Cha muhimu ni tabia, anaweza kuwa mweupe but baadaye akawa hana tabia njema! Na vizuri kufahamiana zaidi...! Kila la heri! Michelle yupo mtaa wa pili...ungepita huko ungemwona!

thx! tabia ni muhumu ila unajua tabia inabadilika? inategemea umempata mtu gani na ukumbuke akuna mtu safi hapa duniani cha msingi ni kuridhika then next ni marekebisho madogo tuu
 
thx! tabia ni muhumu ila unajua tabia inabadilika? inategemea umempata mtu gani na ukumbuke akuna mtu safi hapa duniani cha msingi ni kuridhika then next ni marekebisho madogo tuu

Ukimwomba Mungu na kumtegemea...ninaamini unaweza ukampata mwenye tabia zinazoendana...ila muhimu kufahamiana kabla....!!! kila la heri!
 
Usiona aibu mrembo wewe wakilisha tu na useme ni wewe sababu ingekuwa ni rafiki yako angetoa mail yake si lazima pm tu zikufikie tena wewe.maana ujumbe wachumba wameupata why wakupm wewe? atoe mail adrss yake wawasiliane nae. ila muombe mungu utafanikiwa tu
 


Mmmmmh,hivi hawa watu wa kutafuta wenzi mitandaoni kweli ndoa zinadumu?
Mnakuwa mmefahamiana lini?
Kazi kweli kweli,naomba abahatishe tu ila naye kama hajapata hadi saivi basi ana tatazo na hafai kuwa mke
 
Sawa nipo nae hapa na msg delevered. Labda hizo mambo yake ya kuwa choosey inamchelewesha kupata mwenzi hajui tu so asante kwa kumjulisha

na tena mwambie kabisa hiyo inawacost wengi sana by the time wanastuka umri umeenda hakuna mr right
 
Sifa zoooooote ninazo isipokuwa moja tu. Unaonaje ukiongeza umri mpaka miaka 40??? Kama unakubali niPM.
 
Mimi Mzima sasa sifa zote nimezipenda ila napenda mtu mweupe so, itakuaje ushauri plse

Ukisoma biblia wimbo uliobora sura ya kwanza utaona "mimi ni mweusi mweusi lakini ninao uzuri" kwa upande wangu ni mweusi na nimejaliwa uzuri. Kumbuka weusi huwezi kuununua dukani ila weupe wauzwa dukani. Mary Rose pale town duka la vipodozi ukienda pale kama wataka weupe waupata in a week. So think twice unapotafuta hao weupe uwe makini utafute original otherwise utapata mweupe feki. Nawasilisha
 
 
Truly habari ya asubuhi, hivi wewe una mchumba tayari???
 
Truly habari ya asubuhi, hivi wewe una mchumba tayari???

Za asubuhi ni nzuri The Finest. Namshukuru Mungu kwa kunipa siku nyingine. Mimi nimeolewa mwaka jana. Anaetafuta mume ni my best friend.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…