Apana kwel sitaweza [emoji1487][emoji1487]Hauwezi ule uchungu sio mchezo umemchomoa uambiwe sasa hakuna linaloshindikana chini ya jua tunamrudisha tena uendelee na uchungu mpaka mwakani, utaweza?
Basi ndio ujue wanayosema kwamba hakuna lisiloshindika hilo ni moja wapo haliwezekani akisema anaweza mwambie akishamchomoa achomekwe tena Miezi 9 hapo hapo atawezaApana kwel sitaweza [emoji1487][emoji1487]
nimekubali baba[emoji1487] mbona kuzidi kunipiga na kitu kizito[emoji23][emoji1487]Basi ndio ujue wanayosema kwamba hakuna lisiloshindika hilo ni moja wapo haliwezekani akisema anaweza mwambie akishamchomoa achomekwe tena Miezi 9 hapo hapo ataweza
Yeye mwenyewe hayuko serious halafu pia ni more selective ngoja aumalizie uzee wake akiwa single maza tu hakuna namna.Dada bora ungeenda kwenye majukwaa serious , hapa utaishia kejeli tu
Na inaonyesha hana nia ya kumuoa.Itakua kuna mwamba anamshughulikia
Ruksa kutiririka tu hata kwa kibantu tutakuelewa,au bado unafikiria vigezo vya mme kwenye bandiko lako tarajiwa?Kumbe tupo wengi
U serious atakutana nao PM hukoDada bora ungeenda kwenye majukwaa serious , hapa utaishia kejeli tu
kigezo kikuu kimoja tu,,apumue bas[emoji16],,bandiko toshaRuksa kutiririka tu hata kwa kibantu tutakuelewa,au bado unafikiria vigezo vya mme kwenye bandiko lako tarajiwa?
[emoji1787]Kiswahili ni Bora zaidi kuliko lugha za wenyewe
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ila watuMiaka 35, una kazi na una mtoto tayari na bado unahitaji mume?...
Faida za kuwa na mume katika umri wako ni nini?
Nielekeze majukwaa serious nikatafute mkeDada bora ungeenda kwenye majukwaa serious , hapa utaishia kejeli tu
NeverUpo tayari kubadili dini uolewe na muislamu?
Not as you thinkNgoma imefika pale kwenye 'Ilimradi awe anapumua tu' hakuna cha Tall, dark and handsome tena. Life's a bich
Never,kila mmoja atawajibika,no kitonga here!Hio ndio hua stage ya Mwisho kabisa ilimradi anapumua hata km hana kazi tutaishi tu
Hata wewe unasema haya?Mechi kabla haijaanza tayari Al ahl 1,simba bado hajapata kitu [emoji23][emoji1787]
Uko mkoa gani, vigezo vimetimiaJf family,
Im looking for a matured man to start a new life chapter with.Im 35yrs-christian with one kid.Im employed.
If you are interested,you are in your 30's up to 40's please leave a message in my dm.
Cheers!
Kuwajibika na nini wewe ushafika saa 12:45 JIONI Soko karibia linafungwa na hakuna ulichouza tangu asubuhi kifuatacho ni kuuza kwa bei ya hasara au kugawa bure au unataka uendelee kuchezea dildos?Never,kila mmoja atawajibika,no kitonga here!