Looking for a job.

AMANI SAMANYA

New Member
Joined
Jun 7, 2012
Posts
2
Reaction score
0
HELLOW WATANZANIA, MIMI NI KIJANA MTANZANIA MWENYE UMRI WA MIAKA 25, KWA SASA NASOMA CHUO KIKUU CHA MTAKATIFU AUGUSTINO SHAHADA YA KWANZA YA MAWASILIANO YA UMMA (BA. IN MASS COMMUNICATION), SPECIALIZED IN PUBLIC RELATIONS NA NAMALIZIA MWAKA WA TATU. NATAFUTA AJIRA KATIKA SEKTA YOYOTE AU KAMPUNI YOYOTE. KWA MAWASILIANO ZAIDI Email: amanisamanya@yahoo.com Au NAMBA YA SIMU: 0719714566. AHSANTENI SANA.
 
pls sir,
use fake username. U are too open even displayn ur names and contabjts
 
Hmm cross ur fingerz,upate majibu mazuri,nahivi ulivyojiopen,.hmm kuwa tayar kupokea majibu positive yakukusaidia,na negative ambayo utatamani ujifiche ndani week nzima,ukihisi waliokujibu wanakuona.
Mungu atakusaidia,ila ushaur change urnames.
 
Huwa hatufanyi hivyo siku hizi ni mambo ya whom do you know
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…