Natafuta lawyer ambaye anajua vizuri sheria za Tanzania kuhusiana na Intellectual Property (IP) rights, specifically Trademarks, Copyrights, and other related rights.
mmh inategemea unamtaka kwa ajili ya nini? kama ni kwa ajili ya litigation au kama ni kwa ajili ya kuregister patents!!!
Ukisema ndio tunaweza kukujibu ni yupi anafaa kati ya malwyer waliopo tanzania. wapo wengi tu.
mmh inategemea unamtaka kwa ajili ya nini? kama ni kwa ajili ya litigation au kama ni kwa ajili ya kuregister patents!!!
Ukisema ndio tunaweza kukujibu ni yupi anafaa kati ya malwyer waliopo tanzania. wapo wengi tu.