Looking for a man for a serious relationship that will lead to marriage

Kama which ndio kiingereza Cha degree ndio maana watu wameamua kuuza bandari
 
Kama which ndio kiingereza Cha degree ndio maana watu wameamua kuuza bandari
Sawa na kama una nia nzuri na siyo kejeli, ungeweza kukosoa na kutoa neno sahihi badala ya hiyo "which" we keep on learning like every day. Pia umeandika bila kuweka nukta wala koma, hicho ndiyo kiswahili cha masters?
 
Sawa na kama una nia nzuri na siyo kejeli, ungeweza kukosoa na kutoa neno sahihi badala ya hiyo "which" we keep on learning like every day. Pia umeandika bila kuweka nukta wala koma, hicho ndiyo kiswahili cha masters?
Anyway nimependa ulivyo jibu kwa busara.
Hiyo which ni auto correction ya simu.
Alie Kwambia nina masters nani?
 
Anyway nimependa ulivyo jibu kwa busara.
Hiyo which ni auto correction ya simu.
Alie Kwambia nina masters nani?
Sawa ila nimeona kama unakejeli degree, labda wewe una PhD or masters, but all is well.
 
Dah! Am here to offer my condolesence!! Am above 50! Short, fat with obesity! black, with 3 children. Successful businessman with a lot of money!! Am I allowed?
 
Miaka 35 kwa mwanamke ni mzee ana miaka 5 hadi 10 tu anafika menopause pia kuzaa kwa haraka hawezi hivo inabidi apumnzike hadi 4 yrs kabla ya kutafuta mtoto. And umri huu mwanamke anakuwa ameshatumika na mijeba ya kutosha tu
 
Miaka 35 kwa mwanamke ni mzee ana miaka 5 hadi 10 tu anafika menopause pia kuzaa kwa haraka hawezi hivo inabidi apumnzike hadi 4 yrs kabla ya kutafuta mtoto. And umri huu mwanamke anakuwa ameshatumika na mijeba ya kutosha tu
Mmh ok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…