Looking for a women not a girl

Looking for a women not a girl

ndusyepo

Senior Member
Joined
Jul 2, 2013
Posts
165
Reaction score
41
hello..everybody ma name is humphrey richard from tabata-dar es salaam am here looking for a women age between 20-28... who knows the trully meaning of love@ if you think u can handle pls contact me through:-
humphrey.5@live.com
+255 (07) 659 135260
all sms will be replied .
 
A boy looking for a woman!!??! Wonders shall never end.
 
Hii mitandao hii? Sijui niwafiche wapi wanangu!
 
hello..everybody ma name is humphrey richard from tabata-dar es salaam am here looking for a women age between 20-28... who knows the trully meaning of love@ if you think u can handle pls contact me through:-
humphrey.5@live.com
+255 (07) 659 135260
all sms will be replied .

then what dude?
 
Hii mitandao hii? Sijui niwafiche wapi wanangu!

donot take them to xul iliasijitambue na usimfundishe kitu chochote ataishi vizuri sana maana hatakuwa na muda na mambo ya tech
 
donot take them to xul iliasijitambue na usimfundishe kitu chochote ataishi vizuri sana maana hatakuwa na muda na mambo ya tech
Sasa huyu mleta uzi anajitambua kweli? Taking my kids to school is very important wasije wakawa kama huyu.
 
Noma. Watoto wa Ndalichako wamejaa sana JF kipindi hiki, baada ya pass marks kushuka.
Yaani mkuu we acha tu! Watoto wanakuja na maswali ya ajabu humu! Mpaka mtu unaogopa jinsi wanavyokimbilia maisha kwa kuruka baadhi ya hatua za makuzi.
 
Yaani mkuu we acha tu! Watoto wanakuja na maswali ya ajabu humu! Mpaka mtu unaogopa jinsi wanavyokimbilia maisha kwa kuruka baadhi ya hatua za makuzi.

Ukiacha huyu, kuna mwingine anajiita Kelvin.pcb (I hope kakosa mkopo wa HESLB) nae anaandika takataka kila sekunde. Nadhani kwa leo kaanzisha si chini ya thread 5 za kipuuzi kama hii tunayosoma. They are boring oooohhh!
 
hello..everybody ma name is humphrey richard from tabata-dar es salaam am here looking for a women age between 20-28... who knows the trully meaning of love@ if you think u can handle pls contact me through:-
humphrey.5@live.com
+255 (07) 659 135260
all sms will be replied .
Muwe mnaandika kwa kiswahili tuu. kama ulimaanisha mwanamke ulipaswa kuandika woman na sio 'women'.
 
Hii mitandao hii? Sijui niwafiche wapi wanangu!

huna haja y kuwaficha mwaJ mana hata cm za tochi nowdays zna ving'amuzi chamsingi we wajenge kisaikolojia zaid !
 
Yaani mkuu we acha tu! Watoto wanakuja na maswali ya ajabu humu! Mpaka mtu unaogopa jinsi wanavyokimbilia maisha kwa kuruka baadhi ya hatua za makuzi.

Sijui yeye amejianda andaa je mpaka amtake huyo mama na si motto mwenzake, toba!!!!! Ndarichako umetuulia kizazi cha leo
 
Ukiacha huyu, kuna mwingine anajiita Kelvin.pcb (I hope kakosa mkopo wa HESLB) nae anaandika takataka kila sekunde. Nadhani kwa leo kaanzisha si chini ya thread 5 za kipuuzi kama hii tunayosoma. They are boring oooohhh!

Hivi JF imeweka age limit ya kujoin ni miaka mingapi? Labda wareview au kuna wengine wanaforge umri kwenye kuregister...
 
Back
Top Bottom