BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 776
Mie kiingereza sijui vizuri,ila nikiona pesa tu huwa kinakuja.
Halafu mambo ya kizungu wakati pesa yenyewe ni kuwekeza kwenye biashara ya kiswahili inaboa.
Kuna watu hawajui Kiingereza ni wakali wa Ideas za Biashara.
Weka kizungu angalau una deal kama la 200 -500m hivi.
Anyway.
Mie simshauri aingie huko,mambo ya Riba sio mazuri kwa dini zote na ndio maana wenye Taasisi hizo huwa mwisho wao chaliii,maana ni kama una dhulum mtu huku unajua kwamba unadhulum.
Mwambie awekeze kwenye Kilimo na ufugaji,itamlipa sana.
My wife has 20m cash and is looking for lucrative business idea, originally she had thought doing micro-finance business but she is afraid or risks involved.
Is there any one with business idea that we can aaply
Thanks.
Tell her to pm me I can help as long as she can learn to trust a stranger.
My wife has 20m cash and is looking for lucrative business idea, originally she had thought doing micro-finance business but she is afraid or risks involved.
Is there any one with business idea that we can aaply
Thanks.
My wife has 20m cash and is looking for lucrative business idea, originally she had thought doing micro-finance business but she is afraid or risks involved.
Is there any one with business idea that we can aaply
Thanks.