Natafuta marafiki wa kike TU ONLY!Regardless of dini,kabila,kipato etc..BUT aliyepevuka.
I've been analysing myself nikaja kugundua ya kuwa kuna kitu nina miss, nacho ni marafiki wa kike.nimekuwa na marafiki wengi lakini almost wote ni wa kiume sometimes hata nikitaka kwenda out with my girls najikuta peke yangu na hao wanaume tu.
CPU hebu ni-highlight kuhusu hizo meeting..zinakuwaga wapi na wakati gani?
Tatizo unataka female friends tu ONLY sasa hivyo vikao na midume huwa tunakuwepo!
Natafuta marafiki wa kike TU ONLY!Regardless of dini,kabila,kipato etc..BUT aliyepevuka.
I've been analysing myself nikaja kugundua ya kuwa kuna kitu nina miss, nacho ni marafiki wa kike.nimekuwa na marafiki wengi lakini almost wote ni wa kiume sometimes hata nikitaka kwenda out with my girls najikuta peke yangu na hao wanaume tu.
mimi nimepevuka....can we be friends?
Thanks my dear.nitakuPM tulonge
CPU hebu ni-highlight kuhusu hizo meeting..zinakuwaga wapi na wakati gani?
watu wengine bwana,yani huna lingine la kuwaza zaidi ya hilo?kwani kuwa na rafiki wa jinsia moja ni kumegana tu
ina maana we huna marafiki wa kiume sio?mxii
watu wengine bwana,yani huna lingine la kuwaza zaidi ya hilo?kwani kuwa na rafiki wa jinsia moja ni kumegana tu
ina maana we huna marafiki wa kiume sio?mxii
Unataka muwe mnamegana duh???