Looking for Future Hubby

Eti jukwaa jengine zaidi [emoji3].

Mzee ukiona fursa zangu unanishikia hadi nakuja kikubwa usinisaliti tu
Ha ha ha inategemea unashikilia wapi ila huyu mzee vigezo unafit kabisa aisee embu nenda Kwan wewe until yako inaishia wap
 
Ha ha ha inategemea unashikilia wapi ila huyu mzee vigezo unafit kabisa aisee embu nenda Kwan wewe until yako inaishia wap
Hahahaha... nimepungukiwa michache angenitosha. Raimundo labda atafit
 
Ha ha ha bora Hiki hukijui nikitoka tarawei ntakuja kukwambia ni nn
Hiloooo! Nishaambiwa, unadhani wote wachoyo kama wewe.
Swala ya kifamilia tulishamaliza, bado yangu binafsi jirani.
 
Hiloooo! Nishaambiwa, unadhani wote wachoyo kama wewe.
Swala ya kifamilia tulishamaliza, bado yangu binafsi jirani.
Ha ha ha Nan Huyo anaeingilia mazungumzo yetu aisee mwambie Ana uhuru but not to that extent
 
Nimeishia drs la7 nasukuma mkokoteni pia umri 29 vp niku PM mkuu tuje tuyajenge? Na sura yangu ndo hyo avatar
 
Kumbe nikifikisha 35 nitakuwa bado nina soko.Ndo umri niliyojipangia nioe
 
Wadada acheni kuchagua chagua!!! Enzi hizo mkitokewa mnaanza oohh huna hela...huna smart phone....huna gari blah blah nyingi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…