Looking for lifetime partner

kuanzia kazini ,kanisani njiani na hata chuoni hakuna aliekuona au kumuona ? Soon kunaa bouya anaenda kuingizwa mkenge sio kila mda ututathimini sisi tu ,jipime na wewe why ufikie kusaka mtu nyuma ya keyboard
 
Natamani nije pm ila naogopa toka siku ile nilipo mfuata mmoja mwenye uhitaji kama wewe akageuka kuwa askari polisi [emoji23][emoji23] sio kwa maswali yale , nikaishia kudelete convo na kumuunfollow
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…