Mockyglady
Member
- Aug 2, 2017
- 12
- 24
Unataka kigezo gani zaidi ya hicho kwenye headingHujakamilisha vigezo vyako
Ndiyo
Jipeni matumaini wakat mshatarigiwaNdiyo
Na mimi nikajua amekosea huenda alitaka aweke tofauti na hivyo
37, Thx
Karibu sana. Nimefurahi
Kilimo tuu mkuu au ndio na kusuuza rungu kabisaaa[emoji13][emoji13] [emoji13]
Kilimo tu mm sijakidhi vigezo!Kilimo tuu mkuu au ndio na kusuuza rungu kabisaaa[emoji13][emoji13] [emoji13]
Kwa hiyo hicho ndo kilichokuleta JF?Mimi ni mama ninaetafuta mwenza wa kuishi nae.
Mimi ni mfanyabiashara na mkulima. Nina elimu ya chuo. Ni mcha Mungu.
Natafuta mume mwenye mapenzi ya dhati. Sichagui dini,kabila,elimu etc
Aliekuwa serious tuwasiliane
Sijaelewa HIV+ au ulimaanisha HIV-Mimi ni mama ninaetafuta mwenza wa kuishi nae.
Mimi ni mfanyabiashara na mkulima. Nina elimu ya chuo. Ni mcha Mungu.
Natafuta mume mwenye mapenzi ya dhati. Sichagui dini,kabila,elimu etc
Aliekuwa serious tuwasiliane
Kwa hiyo hicho ndo kilichokuleta JF?