Looking for matured lady

Ezekieljr

New Member
Joined
Aug 14, 2020
Posts
2
Reaction score
1
Ni Dm kama upo serious tu tafadhali. Lengo ni mahusiano yatayopelekea ndoa, kwa hiyo nahitaji mtu aliye na uhitaji

Mm ni jinsia ME,
Umri wangu miaka 30, mrefu sio sana mwembamba. Elimu yangu ni Shahada. Ni mjasiliamali tu sina ajira ya taaluma.
Ni mkazi wa Mwanza

Mwenza ninaemhitaji
Awe na umri usiopungua miaka 24 na usiozidi 32
Awe na hofu ya Mungu
Asiwe muongo muongo
Awe mwenye kujiheshimu
Akiwa kanda ya ziwa itapendeza zaidi

naomba anitext DM au email babalvin1993@gmail.com
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…