Abdul mdachi
Member
- Nov 9, 2014
- 46
- 2
Jina langu naitwa Abdul, ni muhitimu wa kidato cha sita, nimepata nafasi ya kwenda kusoma nchini India ila tatizo wazazi wangu hawana uwezo wa kunisomesha, niko hapa nahitaji msaada ili niendelee na masomo. Namba yangu ni 0712389866