Lord Dalemera Muingereza anaemiliki eka 100,000 za ardhi ya Kenya

Lord Dalemera Muingereza anaemiliki eka 100,000 za ardhi ya Kenya

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1546780127507.jpeg


Lord Dalemera ni mtoto wa 2nd Lord Delemera. Alizaliwa Cheshire Uingereza 28 April 1870 na alifariki 13 November, 1931.

Lord Dalemera alisoma Eton na kumaliza shule akiwa na umri wa miaka 16. Kama kawaida ya watoto wa matajiri, ilikuwa kwenye mafunzo ya uafisa wa jeshi baada ya shule. Bahati mbaya Baba yake alifariki hivyo ilibidi asimikwe cheo cha baba yake akiwa na umri wa miaka 17.

Mwaka 1891 Lord Delemamera alifunga safari ya kwenda kuwinda simba huko British Somali Land. Katika uwindaji huo alikutana na Msomali mwenye bunduki aliyeitwa Abdullah Ashur. Ashur alimpa kipigo Lord Delemera kilichopelekea kuchechemea mpaka anaingia kaburini.

Lord Delamera alipata hati ya umiliki wa ekari 100,000 sawa na (400 km2) kwa miaka 99. Kwa makubaliano ya kulipa kodi ya £200 kwa mwaka na kutumia £5,000 kuendeleza eneo katika miaka mitano ya kwanza. Eneo alilopewa ni eneo la Naivasha.
 
View attachment 987772

Lord Dalemera ni mtoto wa 2nd Lord Delemera. Alizaliwa Cheshire Uingereza 28 April 1870 na alifariki 13 November, 1931.

Lord Dalemera alisoma Eton na kumaliza shule akiwa na umri wa miaka 16. Kama kawaida ya watoto wa matajiri, ilikuwa kwenye mafunzo ya uafisa wa jeshi baada ya shule. Bahati mbaya Baba yake alifariki hivyo ilibidi asimikwe cheo cha baba yake akiwa na umri wa miaka 17.

Mwaka 1891 Lord Delemamera alifunga safari ya kwenda kuwinda simba huko British Somali Land. Katika uwindaji huo alikutana na Msomali mwenye bunduki aliyeitwa Avdullah Ashur. Ashur alimpa kipigo Lord Delemera kilichopelekea kuchechemea mpaka anaingia kaburini.
Sheria za kwenye ardhi ni hovyo,how come mgeni amiliki ekari laki 1?
 
View attachment 987772

Lord Dalemera ni mtoto wa 2nd Lord Delemera. Alizaliwa Cheshire Uingereza 28 April 1870 na alifariki 13 November, 1931.

Lord Dalemera alisoma Eton na kumaliza shule akiwa na umri wa miaka 16. Kama kawaida ya watoto wa matajiri, ilikuwa kwenye mafunzo ya uafisa wa jeshi baada ya shule. Bahati mbaya Baba yake alifariki hivyo ilibidi asimikwe cheo cha baba yake akiwa na umri wa miaka 17.

Mwaka 1891 Lord Delemamera alifunga safari ya kwenda kuwinda simba huko British Somali Land. Katika uwindaji huo alikutana na Msomali mwenye bunduki aliyeitwa Abdullah Ashur. Ashur alimpa kipigo Lord Delemera kilichopelekea kuchechemea mpaka anaingia kaburini.
Ndo nini sasa!!!???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kizazi chake kinasumbua kenya,Nakumbuka kuna kipindi alimpiga mwindaji risasi na kumuua kisa kakanyaga ardhi yake akawekwa rumande akiwa na friji yake laptop na simu yaani ka hostel
 
Kama vile Malikia wa Uingereza anavyomilioi ardhi karibia nchi nyingi duniani...


Cc: mahondaw
 
Kama vile Malikia wa Uingereza anavyomilioi ardhi karibia nchi nyingi duniani...


Cc: mahondaw
Wakati wa ukoloni na ndani ya Commonwealth Malkia bado ana faidika na mataifa hayo. Population ya commonwealth ni 3/4 ya dunia. Yaani ni 1/4 tu ambayo haihusiki.
 
Ukitaka kujua masuala ya ardhi ya kenya soma kitu kinaitwa Kenya Morris Carter land commission report ya 1932 to 1934 yaani kama ilipangwa ndio maana wanaomiliki ardhi asilimia kubwa kenya ni wazungu wanasiasa wakikuyu na kikalenji kwa kifupi kwenye issue ya sheria za ardhi waliuza nchi yao,wakiondoka wakulima wa kizungu kenya inakuwa ka zimbabwe.
 
Ukitaka kujua masuala ya ardhi ya kenya soma kitu kinaitwa Kenya Morris Carter land commission report ya 1932 to 1934 yaani kama ilipangwa ndio maana wanaomiliki ardhi asilimia kubwa kenya ni wazungu wanasiasa wakikuyu na kikalenji kwa kifupi kwenye issue ya sheria za ardhi waliuza nchi yao,wakiondoka wakulima wa kizungu kenya inakuwa ka zimbabwe.
Lord Delamera amefanya mapinduzi makubwa sana ya kilimo na ufugaji. Aliajiri wanasayansi na waliweka rekodi ya magonjwa ya wanyama na changamoto zake ambayo mapaka leo inasaidia mitaala ya vyuo vya kilimo.

Baada ya WW II alifungua ranch kubwa sana ya ng’ombe Kongwa Dodoma ambao walishambuliwa na mbung’o. Aliamua kulima karanga na alikuwa msafirishaji mkubwa wa karanga kwenda Ulaya.
 
View attachment 987772

Lord Dalemera ni mtoto wa 2nd Lord Delemera. Alizaliwa Cheshire Uingereza 28 April 1870 na alifariki 13 November, 1931.

Lord Dalemera alisoma Eton na kumaliza shule akiwa na umri wa miaka 16. Kama kawaida ya watoto wa matajiri, ilikuwa kwenye mafunzo ya uafisa wa jeshi baada ya shule. Bahati mbaya Baba yake alifariki hivyo ilibidi asimikwe cheo cha baba yake akiwa na umri wa miaka 17.

Mwaka 1891 Lord Delemamera alifunga safari ya kwenda kuwinda simba huko British Somali Land. Katika uwindaji huo alikutana na Msomali mwenye bunduki aliyeitwa Abdullah Ashur. Ashur alimpa kipigo Lord Delemera kilichopelekea kuchechemea mpaka anaingia kaburini.

Lord Delamera alipata hati ya umiliki wa ekari 100,000 sawa na (400 km2) kwa miaka 99. Kwa makubaliano ya kulipa kodi ya £200 kwa mwaka na kutumia £5,000 kuendeleza eneo katika miaka mitano ya kwanza. Eneo alilopewa ni eneo la Naivasha.
Alipewa na nani?
 
Kwahiyo hata baada ya uhuru aliendelea kumiliki ardhi yote aliyopewa na Wazungu wenzake?
Mkataba ni mkataba hata Nyerere alishindwa kuwafukuza Williamson Diamonds Mwadui walikuwa na mkataba
 
Mkataba ni mkataba hata Nyerere alishindwa kuwafukuza Williamson Diamonds Mwadui walikuwa na mk ataba
Baada ya uhuru Serikali ya Kenya ingeweza kupitisha sheria ya kufanya ardhi yote iwe mali ya dola aka Kenyan State lkn hawakufanya hivyo kama ilivyokuwa Tanzania. Kwanini? Hii ya Williamson Diamonds unajua undani wake? Is it really as simple as you make it to be?
 
Back
Top Bottom