Mi nafaham Ray c kaanza madawa ya kulevya hata kabla ya kua Eyes alikua anatafuta huruma ya watu kwa kisingizio
amazing! ahsante mkuu kwa info..
na huko kenya aliyemfunza ray c kula poda ni nani?
Hapo umesema...mm alikuwa rafiki wa mdogo wangu...naelewa alianza kula drugz kabla ya kukutana na lord eyez
Mdogo alinusurikaa???