LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Kwa sababu nakuwa naona kama hawajielewi vile.
Naona kwenda kanisani au msikitini ni Mambo ya kitoto kitoto.
Ndio maana siku hizi nimeamua kuwa introvert kwa sababu huwa nakuwa so much annoyed kukaa karibu na watu.
Unakuta jitu zima in his 50s linaongea kuhusu eti adhabu ya Kaburi na moto wa jehanamu.
Yani naona kama limekatwa kichwa vile.
Hivi kweli Mungu huyu huyu kabisa kabisa alie umba jua mwezi, sayari na galaxy zote, akuumbe wewe mwanadamu akulete duniani kukupa eti mitihani ili baadae ukifeli aende akakuchome milele?
Ndio mmemshusha Mungu kiasi hiki kweli?
Mungu anaweza kufanya mission ya kitoto namna hiyo?
God doesn't do stupid missions ndugu zangu stukeni...
Na hayo ndio madhara ya kumjua Mungu kupitia vitabu vilivyo tungwa na watu.
You can only know God through observation.
You can know the artist by studying his art.
Unaweza kumjua Mungu ni nani kwa kuusoma uumbaji wake.
N. B: ILA KABIASHARA KA DINI NI KA BIASHARA KAZURI NYIE. WALIO KAANZISHA WALIKUWA VERY SMART. YANI NAKUUZIA BIDHAA ( PEPO) ILA. UTAENDA KUTHIBITISHA UFANISI WA BIDHAA HIYO SIKU UTAKAYO KUFA DAH...
Naona kwenda kanisani au msikitini ni Mambo ya kitoto kitoto.
Ndio maana siku hizi nimeamua kuwa introvert kwa sababu huwa nakuwa so much annoyed kukaa karibu na watu.
Unakuta jitu zima in his 50s linaongea kuhusu eti adhabu ya Kaburi na moto wa jehanamu.
Yani naona kama limekatwa kichwa vile.
Hivi kweli Mungu huyu huyu kabisa kabisa alie umba jua mwezi, sayari na galaxy zote, akuumbe wewe mwanadamu akulete duniani kukupa eti mitihani ili baadae ukifeli aende akakuchome milele?
Ndio mmemshusha Mungu kiasi hiki kweli?
Mungu anaweza kufanya mission ya kitoto namna hiyo?
God doesn't do stupid missions ndugu zangu stukeni...
Na hayo ndio madhara ya kumjua Mungu kupitia vitabu vilivyo tungwa na watu.
You can only know God through observation.
You can know the artist by studying his art.
Unaweza kumjua Mungu ni nani kwa kuusoma uumbaji wake.
N. B: ILA KABIASHARA KA DINI NI KA BIASHARA KAZURI NYIE. WALIO KAANZISHA WALIKUWA VERY SMART. YANI NAKUUZIA BIDHAA ( PEPO) ILA. UTAENDA KUTHIBITISHA UFANISI WA BIDHAA HIYO SIKU UTAKAYO KUFA DAH...