Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Lori aina ya fuso limegonga treni kwenye njia yake baada ya mataa ya Chang'ombe, Dar uelekeo wa Magomeni. Ajali hiyo imesababisha foleni barabara ya Nyerere kutoka mataa ya Veta Chang'ombe kuvuka daraja la Mfugale, Tazara. Pia imesababisha foleni Kubwa barabara ya Chang'ombe.
Watumiaji wa barabara wanashauriwa kutumia barabara mbadala. Juhudi za Kuondoa treni na lori katikati ya barabara zinaendelea.
Watumiaji wa barabara wanashauriwa kutumia barabara mbadala. Juhudi za Kuondoa treni na lori katikati ya barabara zinaendelea.