Na hapo ndo na mi nilikuwa napatafakari haswaAliegongwa kamuumiza alie mgonga.
Ndo maana barabara inayo cross railway inawekwa tahadhari kabisa kuashiria kwamba wewe unayetumia barabara ndiye unayepaswa kuwa makini na sio treni inayopita kwenye reli yake kwa sababu katika hali ya kawaida barabara ndio iliyokatiza relini na sio reli imekatiza barabarani.Lory linagongaje Train hii sheria ya mkoloni inahitaj marekebisho
Train zinapita bila kujali kabisa watumiaji wengine wabarabara au angalao kuwepo na kibendera kama ilivo mabibo...
Angalao kuwe hata na taa bas
Pole sana mwenye lory na dereva
Mkuu tatizo ni brake application ya hizo mambo siyo kama za magari hasa inapokuwa na mabehewa ni bora ikawa Locomotive pekee hapo kweli uzembe utakuwa kwa dereva wa treni pia. Ila ikiwa na mabehewa huwezi fanya brake application hapa usimame hapo hapo. Nadhani zuri zaidi wangeweka watu wa vibendera au yale mageti.Lory linagongaje Train hii sheria ya mkoloni inahitaj marekebisho
Train zinapita bila kujali kabisa watumiaji wengine wabarabara au angalao kuwepo na kibendera kama ilivo mabibo...
Angalao kuwe hata na taa bas
Pole sana mwenye lory na dereva
Lory linagongaje Train hii sheria ya mkoloni inahitaj marekebisho
Train zinapita bila kujali kabisa watumiaji wengine wabarabara au angalao kuwepo na kibendera kama ilivo mabibo...
Angalao kuwe hata na taa bas
Pole sana mwenye lory na dereva
Muda mwingine huwa wanakosea hao waongoza treni... unakuta treni inakaribia kwenye road cross... ndio honi inapigwa... tahadhari haitolewi mapema... kuna muda lazima usababishe ajali kutokana na hayo.Lory linagongaje Train hii sheria ya mkoloni inahitaj marekebisho
Train zinapita bila kujali kabisa watumiaji wengine wabarabara au angalao kuwepo na kibendera kama ilivo mabibo...
Angalao kuwe hata na taa bas
Pole sana mwenye lory na dereva
Unapendekeza sheria iweje mkuu?Lory linagongaje Train hii sheria ya mkoloni inahitaj marekebisho
Train zinapita bila kujali kabisa watumiaji wengine wabarabara au angalao kuwepo na kibendera kama ilivo mabibo...
Angalao kuwe hata na taa bas
Pole sana mwenye lory na dereva
Wanasiasa waache kutudanganya kuwa treni haiwezi kuwa na makosa, tunahitaji vitu kama hivi kwenye vivuko vyote vya reli barabarani...View attachment 1605834
Kwanini dereva wa train hakupiga honi?Kwani barabara ya magari ndio inakatisha kwny barabara ya treni au barabara ya treni ndio inakatisha kwny barabara ya magari?
Hata yeye amepigiga na maisha, anaburuza hilo locomotive hajui nyumbani leo panalikaje?Kwanini dereva wa train hakupiga honi?
ndioKwanini dereva wa train hakupiga honi?
Kwanini hizi njia zisiwekwewe vizuizi vya kutumia umeme kama wenzetu ulaya, hapa kwetu ni kama tunazunguka kinyume cha mwendo wa saaLori aina ya fuso limegonga treni kwenye njia yake baada ya mataa ya Chang'ombe, Dar uelekeo wa Magomeni. Ajali hiyo imesababisha foleni barabara ya Nyerere kutoka mataa ya Veta Chang'ombe kuvuka daraja la Mfugale, Tazara. Pia imesababisha foleni Kubwa barabara ya Chang'ombe.
Watumiaji wa barabara wanashauriwa kutumia barabara mbadala. Juhudi za Kuondoa treni na lori katikati ya barabara zinaendelea.
View attachment 1605703
Wabunge wenyewe wa kubadilisha hii Sheria ndio hawa wanaopiga magoti na kujigaragaza kwenye vumbi.Lory linagongaje Train hii sheria ya mkoloni inahitaj marekebisho
Train zinapita bila kujali kabisa watumiaji wengine wabarabara au angalao kuwepo na kibendera kama ilivo mabibo...
Angalao kuwe hata na taa bas
Pole sana mwenye lory na dereva