Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Kama walio Juu wanaiba na wanatuibia mno Watanzania kwanini na Wao wasiibe?Naona vijana wa ovyo wanaiba mzigo.
Fire brigades zetu wanashindwa kuzima moto na magari yao sijui itakuwaje kwa wengine?Elimu ya kuzima moto ifundishwe mashuleni, moto Mdogo tu huo wanashindwa kuudhibiti
Ukisubiria fire brigade una matatizoFire brigades zetu wanashindwa kuzima moto na magari yao sijui itakuwaje kwa wengine?