Loss making KQ to sell her 6 Dreamliners in trying to avoid a collapse

Mm ninahis ununuzi wa ndege Atcl umekaa kisiasa zaid tu. Na siajabu watoto wa wakubwa wameisha somea uruban sasa wanawatafutia ajira tyu
 
Wakiona hivyo watakuja na vitisho vya 'ze Ebola' ili mkose watalii ambao ndio targeted passengers wa hizo ndege,

Hao watu ni hatari, they go into length and depth of sabotaging, si unajua regional offices za UN agencies like WHO ziko wapi,

sasa itashindikana vipi kwa one rogue paid up employee to peddle hizo unsubnstiated lies ili kuharibu mambo yetu...

Ni baada ya kudakwa Kabendera sasa wamepata a replacement...
 

KQ with 3 planes, sells 7 planes.
That means we remain with -4 planes. 😂 😂 😂

Your bs keeps falling apart here everyday.
Mwende mwangaliwe vichwa. Geza Ulole na Mkikuyu- Akili timamu
 
KQ with 3 planes, sells 7 planes.
That means we remain with -4 planes. 😂 😂 😂

Your bs keeps falling apart here everyday.
Mwende mwangaliwe vichwa. Geza Ulole na Mkikuyu- Akili timamu
Making a fool of yourself. You own an asset when you fully pay for it not when its registered in your name.
KQ has only fully paid for 3 planes.
 
Shirika la ndege nchini Kenya Airways wanauza ndege yao Boing 777,

Hii ndege inauwezo wa kutoka nchini Kenya hadi Washington Marekani non stop ikiwa na abiria 12, huku ikiwa na free seat 239.

Kenya airways imekuwa ikipata hasara kwa miaka zaidi ya 40 mfulilizo.
 
  • Mpendwa mteja, tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara na kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi ya #CORONAVIRUS
 
Hizi sio zile zenye kifafa cha kuanguka ovyo..!?
 
So kq haina ndege tatu tena?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
I was going to ask the same question. That's where desperation has taken them. I wonder how you can sell something that you don't own
 
I was going to ask the same question. That's where desperation has taken them. I wonder how you can sell something that you don't own
Hata mi nilikua nataka ku uliza hili swali....
 
Making a fool of yourself. You own an asset when you fully pay for it not when its registered in your name.
KQ has only fully paid for 3 planes.
GoK guaranteed KQ's loan to Afriexim bank, If KQ fail to pay for the loans they took to acquire the dreamliners, no one will come to take the dreamliners , instead, the lenders will go to GoK and ask for their money, they wont come to take the planes because the planes have already depreciated in value. So technically speaking KQ has full liability for the dreamliners, that means they can use the dreamliners as security if they wanted to take another loans because the dreamliners are counted as part of their assets, they can even sell the planes to another buyer like in this case, the lenders dont care as long as KQ still pays the loans.


Anyway, KQ is selling the dreamliners and then leasing them back, so they will still have roughly the same fleet size, only this time it will be an actual lease on the plane.

 
Vipi Covid huko Danganyika?Makufa Hadi streets za Buruguni?
 
Instead of selling and leasing back, its better if KQ sell dreamliners andreplace them with turboprops such as Bombadier and ATRs which are cost efficient forvregionar routes..
Customer doesnt care much on shortest arrival time as they care about a ticket flight.. This will make KQ more competitive and afloat!
 
Can you fly turbo prop with 250 passengers to newyork direct?

You don't know what you are talking about
Anyway, jambojet does the work of regional routes with turboprop. Its part of KQ
 
Kwanini sijawahi ona financial statement za air tanzania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…