DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 551
Dar Si Lamu:
Maamuzi ya kupunguza matumizi kwanza yatahitaji kubadilisha mfumo mzima wa utawala kwa kupunguza idadi ya wilaya, majimbo ya ubunge, mikoa na nafasi nyingi za kazi. Sidhani kama kuna viongozi wa kisiasa watakaokubali kuchukua hatua hizo.
..jibu la swali hili liko wazi. atasema "hivi sasa tunajitahidi kuongeza mapato yetu ili kupunguza utegemezi,kwani si vizuri kutegemea sana wafadhili. wakati mwingine hawatimizi ahadi zao. kwahiyo,suala hilo tayari linafanyiwa kazi"
..kama namwona vile,akitoa hilo jibu. infact,naisikia sauti yake masikioni!
Wakirudi majimboni, Wananchi wawaulize Wabunge ni lini wilaya na majimbo yao yataanza kujiendesha kwa fesha zao wenyewe an si kutegemea saidia Serikali kuu na Wafadhili?
Waulize kwa nini hakuna mipango ya kuhakikisha kuwa 70% ya pato kutoka Wialaya linarudi wilayani kwa shughuli za maendeleo kama elimu,afya, maji, ajira na menginewe?
..hili litakuwa gumu kwao! si unajua implication yake? more taxes and wananchi will have to work harder than before!
..hapa unaweza toa impression ya u-majimbo! on this i'm not taking positions!
Naomba ufafanue hapa kuhusu u-majimbo. Maana wakati mwingine sisi ni specialists wa kuwa na wasiwasi na vitu ambavyo havijawahi kujaribiwa.
Kwa mfano kwa kuondoa umajimbo zikajengwa shule za sekondari za mabweni zenye kusomesha watu wachache sana. Na kama pesa za shule hizo zingetumika kwenye shule za day, nchi ingeweza kusomesha watu wengi.