public servant
Member
- Jun 22, 2013
- 21
- 6
Wadau mimi ni mtumiaji wa mda mrefu wa Jamii forum ila nilisahau kidogo namba za siri za kuingilia na nimejaribu all means nikajichanganya nikaenda kurequest for new password bila kujua email niliyotumia kipindi hicho(nilifunguliwa na mdada wa internet cafee) nayo nilishasahau password yake mda mrefu hivyo nimeshindwa kuendelea na account yangu nikalazimika kufungua mpya.
NA HAPA NIPO NAOMBA MSAADA KWA NYIE WENYE UWELEDI WA KU-HACK EMAILS NIWEZE KUFUNGUA EMAIL YANGU NIENDELEZE ID YANGU KWANI NI FEDHEHA KUONEKANA NAJIUNGA JAMII FORUM LEO WAKATI NI MTANDAO WA KIJAMII WENYE MANUFAA MENGI NA HUWA NAWASHANGAA SANA AMBAO HAWAJAJIUNGA AU NDO WANAJIUNGA SASA IVI HUWA NAJIULIZA WALIKUWA WAPI.
NA HAPA NIPO NAOMBA MSAADA KWA NYIE WENYE UWELEDI WA KU-HACK EMAILS NIWEZE KUFUNGUA EMAIL YANGU NIENDELEZE ID YANGU KWANI NI FEDHEHA KUONEKANA NAJIUNGA JAMII FORUM LEO WAKATI NI MTANDAO WA KIJAMII WENYE MANUFAA MENGI NA HUWA NAWASHANGAA SANA AMBAO HAWAJAJIUNGA AU NDO WANAJIUNGA SASA IVI HUWA NAJIULIZA WALIKUWA WAPI.