Credere Potest
JF-Expert Member
- Feb 26, 2016
- 217
- 298
Sawa sawa mkuu asante sana aiseeTumia mafuta ya Nazi yako poa sana.
Wakuu habari ya mda huu! Naombeni msaada wenu kwa yeyote anayefahamu Lotion ipi nzuri uso wenye mafuta mengi na Sehemu yenye baridi? Maana nimekuja mkoa wenye baridi sana sasa wakati nipo Dar nilikuwa situmii mafuta ya aina yoyote usoni sababu uso wenyewe nikitembea juani mafuta hatari sasa huku nilipo sababu ya baridi nisipopaka kitu usoni uso unakuwa kama unajikunyata hivi.....nisaidieni kwa hilo! Natanguliza shukrani zangu
Mafuta ya nani kwenye baridi???Tumia mafuta ya Nazi yako poa sana.
mkuu hivi mafuta ya nazi kwenye sehemu zenye baridi siyo mazuri?Mafuta ya nani kwenye baridi???
Ohoooo
Yale ni mepesi yanakauka fasta ngozi inasinyaa, kwenye baridi mafuta mazito ndio yanafaa au lotion pamoja na glycerinemkuu hivi mafuta ya nazi kwenye sehemu zenye baridi siyo mazuri?
Tafuta Mafuta ya black seed oil. Hutajuta.Wakuu habari ya mda huu! Naombeni msaada wenu kwa yeyote anayefahamu Lotion ipi nzuri uso wenye mafuta mengi na Sehemu yenye baridi? Maana nimekuja mkoa wenye baridi sana sasa wakati nipo Dar nilikuwa situmii mafuta ya aina yoyote usoni sababu uso wenyewe nikitembea juani mafuta hatari sasa huku nilipo sababu ya baridi nisipopaka kitu usoni uso unakuwa kama unajikunyata hivi.....nisaidieni kwa hilo! Natanguliza shukrani zangu
wewe ni ke au meWakuu habari ya mda huu! Naombeni msaada wenu kwa yeyote anayefahamu Lotion ipi nzuri uso wenye mafuta mengi na Sehemu yenye baridi? Maana nimekuja mkoa wenye baridi sana sasa wakati nipo Dar nilikuwa situmii mafuta ya aina yoyote usoni sababu uso wenyewe nikitembea juani mafuta hatari sasa huku nilipo sababu ya baridi nisipopaka kitu usoni uso unakuwa kama unajikunyata hivi.....nisaidieni kwa hilo! Natanguliza shukrani zangu