bbwaoy
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 466
- 468
Na weza kuingia dukani nika baki na ng'aa ng'aa macho nashindwa ni nunue ipi hapa?? Mwisho wa siku na ambulia patupu.
Labda niulize ni lotion/ mafuta gani ya uso?
Walau uso ungae vizuri naku baki na rangi Yake asilia?
JINA LA LOTION AU MAFUTA... Ya kike na kiume.
Wengine mna waume/ boyfriend zenu mna fahamu lotion zipi zina wapendezesha nyuso vivyo hivyo kwa wanaume wenye wake/ girlfriends
Hata majina ya lotion / mafuta.......
Labda niulize ni lotion/ mafuta gani ya uso?
Walau uso ungae vizuri naku baki na rangi Yake asilia?
JINA LA LOTION AU MAFUTA... Ya kike na kiume.
Wengine mna waume/ boyfriend zenu mna fahamu lotion zipi zina wapendezesha nyuso vivyo hivyo kwa wanaume wenye wake/ girlfriends
Hata majina ya lotion / mafuta.......