Anhaa kumbe...onana na wataalamu wa vipodozi wakushauri mkuuLengo langu ni kubaki na rangi yangu, mikono na uso kuwa na rangi nyingine then tumbo rangi nyingine inaniboa....ingekuwa opposite watu wanaweza kudhani unajichubua
Wengine Wanatumia Palmers Cocoa Butter lakini mimi ninapenda Vaselinevaseline pekee?
Johnson baby jellyWadau habari zenu,
Naomba msaada kwa anaejua lotion/mafuta yatakayomfaa mwanaume ambae anaishi sehemu zenye baridi, maana hufifia sana rangi na kubadilika kuwa mweusi sana sehemu zilizo wazi(usoni na mikononi) badala ya kubaki na rangi yake ileile ya uweupe kiasi.
Kama kuna msaada mwingine tofauti na mafuta/ lotion itakuwa ni jambo jema pia.
NB: Sehemu za wazi ndio zinaathirika zaidi.
Lanolin,Emu oil,Goat milk cream/lotion, unaweza pia kuongeza glycerin kwenye lotion unayotumia sasa hivi.Wadau habari zenu,
Naomba msaada kwa anaejua lotion/mafuta yatakayomfaa mwanaume ambae anaishi sehemu zenye baridi, maana hufifia sana rangi na kubadilika kuwa mweusi sana sehemu zilizo wazi(usoni na mikononi) badala ya kubaki na rangi yake ileile ya uweupe kiasi.
Kama kuna msaada mwingine tofauti na mafuta/ lotion itakuwa ni jambo jema pia.
NB: Sehemu za wazi ndio zinaathirika zaidi.