Lotus karudi????

Lotus karudi????

bibikuku

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2011
Posts
832
Reaction score
496
Wanajamvi naomba mnisaidie nataka kujua kama Lotus amesharejea Dar es salaam au bado? Kwa mwenye taarifa naomba anipe maana nataka nikamfanyia mahojiano binafsi nijue kule BBA alikuwa akijiwakilisha yeye ama alikuwa akiwakilisha wanawake wa Tanzania ama alikuwa akituwakilisha watanzania wote. Nisaidieni kupata taarifa hii tafadhalini sana.
 
Wanajamvi naomba mnisaidie nataka kujua kama Lotus amesharejea Dar es salaam au bado? Kwa mwenye taarifa naomba anipe maana nataka nikamfanyia mahojiano binafsi nijue kule BBA alikuwa akijiwakilisha yeye ama alikuwa akiwakilisha wanawake wa Tanzania ama alikuwa akituwakilisha watanzania wote. Nisaidieni kupata taarifa hii tafadhalini sana.

Swali la kumuuliza ni kwamba katumwa na nani? watu hawajui, wizara usika haina taarifa
 
yuko dar.nenda michuzi blog kwa details
 
Je Lotus ni Kweli unamatatizo ya akili? Mbona ulipoinia BBA ulikuwa kama unapiga Crystal meth. Kelele bin mapepe na R u real proud of what u have been doing in that BBA House?
 
Back
Top Bottom