ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Kuna uzi ambao bado una hang hapa ubaoni uliowekwa na ndugu yetu aka Louis II kua mbwana Samata kijana wetu anaecheza huko belgium ati hana lolote na kwamba ati anabebwa na bahati tu ! Hakuishia hapo akazidi kumponda kua uwezo wake hata Emmanuel Okwi wa simba yupo juu..
Sasa Leo hii Jumatatu ya tarehe 24 katika ligi kuu ya belgium mchezaji anaeongoza kwa ufungaji ni Kijana wetu Mbwana Samata, anaongoza kwa kufunga jumla Ya goli 14 na anaemfuata ana goli 11..
Sasa Ni wakati wa ndg ulietoa post île umuombe radhi samata na sie watanzania iwe fundisho kwetu kwamba tusipende kujidharau, kujishusha.. Hasa inapofikia suala la kimataifa
Hongera Mbwana Ally Samata... Hongera Sana...
Sasa Leo hii Jumatatu ya tarehe 24 katika ligi kuu ya belgium mchezaji anaeongoza kwa ufungaji ni Kijana wetu Mbwana Samata, anaongoza kwa kufunga jumla Ya goli 14 na anaemfuata ana goli 11..
Sasa Ni wakati wa ndg ulietoa post île umuombe radhi samata na sie watanzania iwe fundisho kwetu kwamba tusipende kujidharau, kujishusha.. Hasa inapofikia suala la kimataifa
Hongera Mbwana Ally Samata... Hongera Sana...