Love 4 fun.

Bra-joe

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,628
Reaction score
1,124
Natafuta msichana wa 18-35 ambaye hajaolewa na haishi na bwana. (only 4 fun) Ninaumri wa miaka 35, naishi Rsa nakuja Tz mara 2/3 kwa mwaka. Vigezo: awe anajiweza kiuchumi, mkweli, hanywi pombe, havuti sigara, mpole na awe mcha-Mungu. Mimi ninavyo vigezo vyote hapo juu.
 
RSA ndio wapi?

Sasa akiwa mcha mungu kwanini umuharibie kumtia kwenye mapenzi ya fun. Kama watak wa kula raha kaokote mtogole and don't put you conditions please is not fair!
 
Rsa- Republic of South Africa. MadameX usikurupuke tu kuongea na kuwasemea wengine, kama hauko entrested liache lipite, usidhani usichokipenda wewe hakipendwi na watu wote. Pia hapa ningependa majibu ya wanaotaka tu, kama hupendi kaa kando. Sitaki majadiliano.
 
teh teh ...kumbe uko serious, you cant be
 
RSA?
Don,t fall for that girls...
 
RSA?
Don,t fall for that girls...

you don't know, in this world everything got its own match. Here I'm looking for my owm matchs. Some where there's a lady to match.
 
mbona kama ni hivyo (i.e girls 4 fun) huna hata haja ya kuleta uzi huku. Ukifika Tz pitia kimboka bar, au jolly club wapo wengi tu. Ila Morogoro usiende yasije kukuta ya bro Kigoma wa Malima.
 
mbona kama ni hivyo (i.e girls 4 fun) huna hata haja ya kuleta uzi huku. Ukifika Tz pitia kimboka bar, au jolly club wapo wengi tu. Ila Morogoro usiende yasije kukuta ya bro Kigoma wa Malima.

hujanielewa Mr G. Sitaki wanaojiuza, pia inaonekana hujui nini maana ya love 4 fun, kama kitu hukijui hunabudi kuuliza, unaweza kujikuta unadandia treni kwa mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…