financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Thank you for sharing mkuu👍Huwa sitaki kuumiza moyo wa bint na nipo real kama jina langu usipo nivutia nakupotezea ila nimwambie kitu kuna wadada ukiwa mwanaume ulie kamili Huwezi waacha waende....Am 4 real.
Mm ni financial analyst😃😃Thank you for sharing mkuu👍
Hahah tunapasha Moto kijiwe ..Ni wewe??[emoji23]
Are you financial analyst wa humu? Ama you mean by profession?Mm ni financial analyst😃😃
Mzee mwenzangu nipo ubusy tu kazini, shule dah cha moto nakiona😀Hahah tunapasha Moto kijiwe ..
Mambo financial services aisee sku hz skupat vizuri unakuja afu unapotea Nani anakukip busy nowadays?
Pole ukubwa ndo huo.Tutafute wkend moja u busy uuweke pembeni kwanza ukaone na dunian Kuna nn aisee..!Mzee mwenzangu nipo ubusy tu kazini, shule dah cha moto nakiona[emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Fanyeni kazi vijana,
Tangazo lako umeshalilipia?Imetokea sio Mara moja wadada Wana fall at first sight kwangu huwa nawaonea hurumaa ila ending point huwaga sio nzuri...
Kaka zangu wa ukoo Huwa wananambia KUA mini ni mbegu nzuri
Sasa kwani alikwambia alipomwomba Mungu anaomba kwaajili ya uzinifu?Ndoa na uzinifu ni vitu viwili tofauti.
😂😂😂Ni mimi, kumbe wote tupo Jf humu humu
By professional pia wa humu🤣😃Are you financial analyst wa humu? Ama you mean by profession?
Mkuu mm ni mstaafu...kwenye hayo Mambo tumewaachia Vijana😊😃🤣Tangazo lako umeshalilipia?
Pisi kali bomba baadhi za MMU zime like na ku commentShe's just building a wall around her. Anaamini mafisi ya JF yataacha kumsumbua. Gentlemen, chapeni kazi. Hakuna kukata tamaa. Endeleeni "kurara nae mbere".
umesema to be loved ukanikumbusha wimbo unaitwa hivo,jamaa anaimba hiviWhat a beautiful thing 'To Love and To Be Loved!!
Best of Lucky Jojo 🥰 nakuombea matukio mtakayopigana ( kimsingi hayakosekanagi.. Kama sio sasa na hata baadaye) yawe ni yale ya kuvumilika.