Love at first sight

Hongera dear hakuna kitu kitamu kama penzi jipy a uwiiiiiii
 
Duh, kidume nasafiri mno mno ila sijawahi kupata hio bahati ya kukaa nna binti. Juzi kati natoka Mbeya kufika Igurusi akapanda binti ana rangi nzuri sana, nyeusi flani hivi, nilikua siti namba mbili, yeye akakaa pale, akanichangamkia mno. Dah, ghafla Agent kaja kumuondoa pale kamwambia siti INA MTU aiiseee nililaani dah
 
Good,enjoy your love baby. Nivizuri kutoa yamoyoni wengine humu wanakufa na emotion zao kimyakimya.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23] wanAtupanga hawa
 
Jirani kwani we hiyo hali haikutokeagi??..

Mi hata humu kuna watu sijawahi hata kuwaona Ila nimekufa nimeoza juu yao..Hii sijui tunaiitaje kitaalam..lol
Ugonjwa wa akili.
 

Hongera sana Joanah kwa kumpata wa kufanana nae
Kwa maelezo yako ni kwamba umempata mwenza yaa mwili, moyo, nafsi vyote vimebalance

Mungu awatunze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…