love connect ina fanya kazi

love connect ina fanya kazi

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Wana jf.
Mwanzoni nilikuwa mbishi wa kuamini kama hii page inaweza kuunganisha watu lakini baada ya kufanya utafiti kwa muda mfupi nimeshapata watu watatu hapa mjini kwangu waliounganishwa na mmoja tumekula harusi yake last December. Pia nimegundua kuna watu wengi hapa ambao ni proffesional na wanaojiheshim na wapo serious kutafuta true love japo wapo pia serengeti boys wengi sana humu. Kwa wadada; nahisi kijana wa kiume aliyefikia umri wa miaka 30 na kuendelea anaweza kumaanisha maelezo yake kulicho umri chini ya hapo japo umri sio kigezo pekee...
Kama upo single na unaona sasa unavigezo vya kubadilisha status yako, usisite; weka tangazo hapa ukitoa wasifu wako na sifa za mtarajiwa "if it works for other it can work for you"
 
Hi Neylu
Nilipokea request nazifanyia kazi japo watoto wa shule walichangamka zaidi ILA kwa kuwa nia yangu ni tofauti na mawazo yao, sikuwapa nafasi...
 
Duuh umenitia tamaa kuweka tangazo langu pia
 
Hi Neylu
Nilipokea request nazifanyia kazi japo watoto wa shule walichangamka zaidi ILA kwa kuwa nia yangu ni tofauti na mawazo yao, sikuwapa nafasi...

Oooh... Hutaki wanafunzi? Njoo mie nina PHD tayari, sio mwanafunzi..
 
Jamani hata mimi nilipata 28 kurudi nyuma, mwingine mpaka amepanda gari toka Dar kuja Mwanza kunitafuta. ila sasa alivyo mdogo mpaka nikaona hata aibu kutembea nae barabarani. jamini vijani wa .com mko wapi siku hizi?
 
Jamani hata mimi nilipata 28 kurudi nyuma, mwingine mpaka amepanda gari toka Dar kuja Mwanza kunitafuta. ila sasa alivyo mdogo mpaka nikaona hata aibu kutembea nae barabarani. jamini vijani wa .com mko wapi siku hizi?
Basi cheki na mie utaridhika ila niko dsm
 
Back
Top Bottom