Love connected

Nickson Swai

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2018
Posts
597
Reaction score
549
Jamani kwa nini wanawake wa madereva wa malori hawatulii kuna jamaa yangu huwa anasafiri Zambia sasa siku moja alimuaga mke wake kuwa anasafiri lakini hapo nyumbani kuna mwanaume anakuja nyumbani kufanya yake wakati jamaa akiwa safari alipata taarifa kutoka kwa majirani wa karibu siku ya siku akarudi usiku bila kumpa taarifa akamfumania mke wake na jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…