Hakikujibu nishtueHivi "Love I Crime" maana yake nin?
Hakikujibu nishtue
andika bas vzur kijana ko na co maana yake nin mkuu?Ko na ww unajua co
Nadhani ni sahihi zaid akisemakasema alikua amemaanisha love is crime chekibobu wetu wa uganda
Mkuu....hiyo ndio mbinu mbadala ya kuwa fanya wasikusumbue tena.Aaaaaa teh teh kweli we chiz kabisaaa
Au kama vipi nenda kaombewe kwa gwajima na lusekelo. ( Mzee wa upako )Aya bwana kila mtu na mawazo yake
Sio ndio nimekupa option 2 uchague, ila umekataa nimekuambia waambie wewe ni shoga, au ukaombewe.Hjatoa suruhishi boi