Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wapendwa, nimeipenda sana hii story, japo ni ndefu kidogo kama sio mvivu wa kusoma waweza isoma.
Love in a time of torture - Features - Al Jazeera English
Wakati nasoma hiyo stori neno moja tu limenijia nalo ni "the power of love"[/QUOTE] Yeah, wanasema power of love can break anything and tolerate any pain
Its very interesting story and kwa watu wanaojua kupenda,ths is the true love
Ntakusimulia baadae tukikutana tena kama jana..si unakumbuka pale tulipokutana, ngoja nichukue kamusi kwanza hapa nikutafsirie ili iwe rahisi kukusimulia baadaeahh nyie nao mnajishauaaaaaa mi mnaniboa...asi mtupe samar sasa io stor inasemaje
kwanza chngereza apa nehi afu ndefu afu mnatapatapa tu apa nzuri..mara inavutia...semen inahusu nin!!!!!!!!
Ntakusimulia baadae tukikutana tena kama jana..si unakumbuka pale tulipokutana, ngoja nichukue kamusi kwanza hapa nikutafsirie ili iwe rahisi kukusimulia baadae