Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamkata ❌Omba tu Mungu usikutane na mwenza wa hovyo utalia Kwa kweli
Sheria mkononi imekuchosha?mshamba nina mpango wa kutulia na pisi kali siku moja....
Wacha weee 😃😃😃,, sio shangazi tena😂mshamba nina mpango wa kutulia na pisi kali siku moja....
Sana.Usaliti unauma🚮
Sheria mkononi imekuchosha?
naamini mapenzi ya kweli yapo, kuna mtu nitampata hatutozinguana😅Wacha weee 😃😃😃,, sio shangazi tena😂
usikate tamaa....Usaliti unauma🚮
Babu zetu walikuwa hawachungwi na wake zao. Hata kama mke akijua mmewe ako na mchepuko sehemu walikuwa hawana namna zaidi ya kutulia tu.Hey Guys! Poleni na majukumu.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Hivi karibuni tumekuwa tukishuhudia matukio mengi na ya kikatili yanayohusishwa na suala zima la mahusiano ya kimapenzi.
Hivi kwa hali hii kuna mwanaume anatulia/ anamiliki mwanamke mmoja?
Nini haswa hupelekea wanaume kumiliki wanawake wengi?
Nini haswa hupelekea wanawake kuwa na wanaume wengi tukiachana na sababu ya pesa?
Ina maana suala la uaminifu limepotea kabisa?
Kuna ndoa ambazo zitafanikiwa kuwa kama za bibi na babu zetu?
Wazazi wetu walifanya nini haswa mpaka wakafanikiwa kudumu kwenye ndoa kwa muda mrefu hivyo? Ina maana hawakuwahi kusalitiana au kukoseana?
Gooooood!afadhali unaanza kurudi kundininaamini mapenzi ya kweli yapo, kuna mtu nitampata hatutozinguana😅
Sema kuna mtu ameishika akili yako saiz,, unatafuta tafuta upenyo wakutokea chamani😂😂naamini mapenzi ya kweli yapo, kuna mtu nitampata hatutozinguana😅