Love is blind ☹️

Babu zetu walikuwa hawachungwi na wake zao. Hata kama mke akijua mmewe ako na mchepuko sehemu walikuwa hawana namna zaidi ya kutulia tu.

Haya mambo ya kizungu ndio chanzo Cha migogoro mingi kwenye ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…