but hiyo rubber band ukiivuta sana ukachoka unaiachia tu haitakuumiza wewe itamuumiza mwenzio ambae bado alikua ameng'ang'ania kuivuta...njia nzuri ni kwamba wote mkiwa mnaivuta mkisikia mmechoka basi mnaachia hiyo rubber band wote kwa wakati mmoja namna hiyo hakuna anayeumia:whoo: