Simply ni kwamba nature ilikosea.
Ilitakiwa kwamba ukisha penda mmoja , basi Moyo uwe una'seal kabisa 'air-tight' ili usiweze kupenda mwengine, hata akiwa na mkwanja, akipaka Betacot-N na Carolite, au akijipitisha mara nyingi vipi!.
Lakini kwa kuacha hivi ilivyo, kazi ni nzito kidogo...utaupangiaje moyo?!