Love story of short broke black man

Love story of short broke black man

Saint_Mwakyoma

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
865
Reaction score
1,208
Za wakati huu wanajukwaa......naomba kupata uzoefu wenu haswa kwa wale wanaume wenye sifa hizi

1. Short (wafupi) futi 5.6 kushuka chini

2. Broke(wenye kipato cha papatu papatu)
#upambanaji mwingi

3. Black(weusi)
Mlifanikiwa vipi kupata wenza(wake,mzazi mwenzio,mpenzi kawaida nk).

Kwa maana mpaka naandika uzi huu ubao kwangu unasoma bilabila na bado kurasa 3 tu. Niingie 3rd chapter
Na kiukweli nimequit mahusiano ila nikipiga mahesabu naona natengeneza bomu kubwa sana uko mbeleni
Uzoefu sina kabisa maana sijawai attempt nikakubaliwa mpaka sasa nimekataliwa mala 47 nihatari toka sekondari ni spana tu mpaka leo.

Natamani nijifunze kutoka kwenu ili nijirekebishe inawezekana mimi ndio mwenye matatizo na siyaoni.

Screenshot_20240221-021632.png
 
Za wakati huu wanajukwaa......naomba kupata uzoefu wenu haswa kwa wale wanaume wenye sifa hizi
1.short (wafupi) futi 5.6 kushuka chini
2.broke(wenye kipato cha papatu papatu)
#upambanaji mwingi
3.black(weusi)
Mlifanikiwa vipi kupata wenza(wake,mzazi mwenzio,mpenzi kawaida nk)
Kwa maana mpaka naandika uzi huu ubao kwangu unasoma bilabila na bado kurasa 3 tu. Niingie 3rd chapter
Na kiukweli nimequit mahusiano ila nikipiga mahesabu naona natengeneza bomu kubwa sana uko mbeleni
Uzoefu sina kabisa maana sijawai attempt nikakubaliwa mpaka sasa nimekataliwa mala 47 nihatari toka sekondari ni spana tu mpaka leo
Natamani nijifunze kutoka kwenu ili nijirekebishe inawezekana mimi ndio mwenye matatizo na siyaoni.
Wala sio shida kijana yawekana bado mdogo sana mapenzi ni pesa kama huna pesa fanya hivi

1.hakikisha muda wote wewe ni msafi
2.style ya nywele nyoa kila week
3.fanya mazoezi hata push up kila siku
4.download app ya pin interest jifunze kule kupangilia nguo hata kama za mitumba utajifunza kuvaaa hasa style za kigentleman huwa zinavutia wadada kama mimi uncle wako hapa napiga kigentleman mtaani wanasema nafanya kazi ikulu

5. Hakikisha unakuwa muongo sana kama una hela lakini uongo uendane ndo maana nikakwambia vaa vizuri mtoto ukikutana nae anavyoondoka kwa hali yako mpe hata 20000 sema nauli hii hapa ... akikuuliza unafanya kazi wapi sema hata TRA ....sehemu nzuri nzuri ... sema uwe umevaa vizuri

6.kama una lafudhi la kisukuma au lugha yeyote litoe mdomoni kwako malufudhi ya lugha za asili nayo jau

7.umeshindwa yote sasa mdogo wangu tafuta tu kula wale wa short time 30000 punguza stress za ngono maisha yanaendelea

8. Tafuta hela zikijaaa watajileta tu yaaani ndo kama nyuki akiona maua ....hata ukiwa na pesa endelea kufuata masharti ya mwanzoni mimi ni hela za mboga tu ila napiga vyuma hapa naandika huuu ushauri kuna chuma nimetoka kuigonga kesho asubuhi naenda job nikirudi nyingine tena
 
Wala sio shida kijana yawekana bado mdogo sana mapenzi ni pesa kama huna pesa fanya hivi

1.hakikisha muda wote wewe ni msafi
2.style ya nywele nyoa kila week
3.fanya mazoezi hata push up kila siku
4.download app ya pin interest jifunze kule kupangilia nguo hata kama za mitumba utajifunza kuvaaa hasa style za kigentleman huwa zinavutia wadada kama mimi uncle wako hapa napiga kigentleman mtaani wanasema nafanya kazi ikulu

5. Hakikisha unakuwa muongo sana kama una hela lakini uongo uendane ndo maana nikakwambia vaa vizuri mtoto ukikutana nae anavyoondoka kwa hali yako mpe hata 20000 sema nauli hii hapa ... akikuuliza unafanya kazi wapi sema hata TRA ....sehemu nzuri nzuri ... sema uwe umevaa vizuri

6.kama una lafudhi la kisukuma au lugha yeyote litoe mdomoni kwako malufudhi ya lugha za asili nayo jau

7.umeshindwa yote sasa mdogo wangu tafuta tu kula wale wa short time 30000 punguza stress za ngono maisha yanaendelea

8. Tafuta hela zikijaaa watajileta tu yaaani ndo kama nyuki akiona maua ....hata ukiwa na pesa endelea kufuata masharti ya mwanzoni mimi ni hela za mboga tu ila napiga vyuma hapa naandika huuu ushauri kuna chuma nimetoka kuigonga kesho asubuhi naenda job nikirudi nyingine tena
Asante kwa madini napokea ushauri kwakweli
 
Eeeh nimesahau kama mfupi penda kuvaa viatu vyA sori ndefu kama travota ....atakuja kujua wewe mfupi ukivua viatu lodge ..... yaani mko chumbani ndo anajua anatembea na ANDUNJEEE
Hapo kwenye ufupi ndio sababu nayopewaga wakinikataa mala zote
 
Toa ilo junju kichwani, nyoa low cut safi.
Tupa ayo mashati ya kanisani, Tafuta form six zilizoenda form six kweli.
Tafuta marashi safi badili muonekano wako kiujumla.
Usi zidishe sana balance usije kuwa kama watu hawa 🌈
 
Toa ilo junju kichwani, nyoa low cut safi.
Tupa ayo mashati ya kanisani, Tafuta form six zilizoenda form six kweli.
Tafuta marashi safi badili muonekano wako kiujumla.
Usi zidishe sana balance usije kuwa kama watu hawa 🌈
Kaka muonekano nimebadili kabisa haswa kwenye nyele zipo low cut napunguza pembeni tena kwa namba
 
Hela tu bro
Pesa
Mkwanja
Money
Yaani hela

Nani alikwambia wanawake wanapenda muonekano wako…
Hata ukiwa mlemavu pesa yako itakuokoa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hela tu bro
Pesa
Mkwanja
Money
Yaani hela

Nani alikwambia wanawake wanapenda muonekano wako…
Hata ukiwa mlemavu pesa yako itakuokoa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukisema pesa i earn twice or more kuliko ninao waapproach
 
Mkuu ni pesa tu amini kwamba….. mkono mtupu haulambwii

Namaanisha matunzo yatafanya upendwe,, sasa Kama hu bahili nani anataka mateso kwenye mahusiano bro
Unanishauri nianze kununua mapenzi labda nitafanikiwa
 
Za wakati huu wanajukwaa......naomba kupata uzoefu wenu haswa kwa wale wanaume wenye sifa hizi

1. Short (wafupi) futi 5.6 kushuka chini

2. Broke(wenye kipato cha papatu papatu)
#upambanaji mwingi

3. Black(weusi)
Mlifanikiwa vipi kupata wenza(wake,mzazi mwenzio,mpenzi kawaida nk).

Kwa maana mpaka naandika uzi huu ubao kwangu unasoma bilabila na bado kurasa 3 tu. Niingie 3rd chapter
Na kiukweli nimequit mahusiano ila nikipiga mahesabu naona natengeneza bomu kubwa sana uko mbeleni
Uzoefu sina kabisa maana sijawai attempt nikakubaliwa mpaka sasa nimekataliwa mala 47 nihatari toka sekondari ni spana tu mpaka leo.

Natamani nijifunze kutoka kwenu ili nijirekebishe inawezekana mimi ndio mwenye matatizo na siyaoni.

View attachment 2964710
Wewe una sifa ipi kati ya izo 3 ulizotaja ili tujue cha kukushauri? uenda sifa yako sio tatizo ni inferior complexity yako. Kwa ushauri wa jumla tongoza demu ambaye demand yake sio kubwa sokoni. Mademu wenye uzuri wa sura, ukubwa wa tako au vyote kwa pamoja(wenye jiji lao wanawaita pisi kali) hao demand yao ni kubwa kwaiyo achana nao. Mawindo yako lenga mademu wenye muonekano kawaida tu in fact hawa wengi ndio wanakuaga wife material, anyway umri wako bado haujachelewa mke hatafutwi atatokea tu katika mazingira na muda ambao haukutarajia. Jipende, fanya kazi, ishi maisha yako usiyape mapenzi kipaumbele kikubwa sana.
 
Back
Top Bottom