Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
๐๐๐๐๐Eeeh nimesahau kama mfupi penda kuvaa viatu vyA sori ndefu kama travota ....atakuja kujua wewe mfupi ukivua viatu lodge ..... yaani mko chumbani ndo anajua anatembea na ANDUNJEEE
Puuza huo ushauri wa pesa mkuu, utapigwa hela zako zote zitaishia kuonga ushindwe kufanya mambo ya maana. Jipende( kuwa smart kuanzia mavazi, usafi, nywele, ndevu, manukato n.k), achana na slay queens. Mimi sina hela za kufanya fujo mjini lakini nina list ya ma-ex visu na hata manzi ambaye ninae sasa ni wa moto na wala siongi demu anakuja geto kwa nauli yake mwenyewe. Its ok utaingia gharama za kumantain mahusiano kama vizawadi, kutoka out siku moja moja lakini akikisha izo gharama zinacheza ndani ya uwezo wako kibajeti. Nakusisitiza usitumie pesa kama chambo ya kumvuta mwanamke, hautapiga hatua katika maisha yako.Ukisema pesa i earn twice or more kuliko ninao waapproach
Kwenye zama hizi za 50/50 ambazo mwanamke umepewa access zote za kujipambambania unawajibika kujitunza wewe mwenyewe. Kama hauna kazi basi jukumu la kukutunza ni la wazazi/walezi wako. Msiwabebeshe vijana majukumu ya baba zenu.Mkuu ni pesa tu amini kwambaโฆ.. mkono mtupu haulambwii
Namaanisha matunzo yatafanya upendwe,, sasa Kama hu bahili nani anataka mateso kwenye mahusiano bro
NAKAZIAWe tafuta hela utakuja kunishukuru.
Tatizo linaanzia hapakipato cha papatu papatu
Asante kwa matumaini ....ila nitajaribu kutongoza wasio na demand ila sifa zote hizo ninazo mkuuWewe una sifa ipi kati ya izo 3 ulizotaja ili tujue cha kukushauri? uenda sifa yako sio tatizo ni inferior complexity yako. Kwa ushauri wa jumla tongoza demu ambaye demand yake sio kubwa sokoni. Mademu wenye uzuri wa sura, ukubwa wa tako au vyote kwa pamoja(wenye jiji lao wanawaita pisi kali) hao demand yao ni kubwa kwaiyo achana nao. Mawindo yako lenga mademu wenye muonekano kawaida tu in fact hawa wengi ndio wanakuaga wife material, anyway umri wako bado haujachelewa mke hatafutwi atatokea tu katika mazingira na muda ambao haukutarajia. Jipende, fanya kazi, ishi maisha yako usiyape mapenzi kipaumbele kikubwa sana.
Kaka ninavyojiona bustani ipo lakini najiuliza kwanini vipepeo hawajiTatizo linaanzia hapa
Usihangaike kutafuta vipepeo panda bustani yako itunze iwe maridadi kabisa vipepeo wenyewe watakuja
Hii comment haiusihani na vipepeo wala bustani
๐kinachonishangaza wanawake wote wanaokuja kwenye maisha yangu wanakujaga kipindi mahusiano yao yakiwa dhaifu lakini ninapoamua kuwatongoza tu ndio wanaponikataa kidiplomasia kwakweli nimechoka kukataliwaPuuza huo ushauri wa pesa mkuu, utapigwa hela zako zote zitaishia kuonga ushindwe kufanya mambo ya maana. Jipende( kuwa smart kuanzia mavazi, usafi, nywele, ndevu, manukato n.k), achana na slay queens. Mimi sina hela za kufanya fujo mjini lakini nina list ya ma-ex visu na hata manzi ambaye ninae sasa ni wa moto na wala siongi demu anakuja geto kwa nauli yake mwenyewe. Its ok utaingia gharama za kumantain mahusiano kama vizawadi, kutoka out siku moja moja lakini akikisha izo gharama zinacheza ndani ya uwezo wako kibajeti. Nakusisitiza usitumie pesa kama chambo ya kumvuta mwanamke, hautapiga hatua katika maisha yako.
๐ ๐ ๐ Nimecheka kibwege mnooo.Eeeh nimesahau kama mfupi penda kuvaa viatu vyA sori ndefu kama travota ....atakuja kujua wewe mfupi ukivua viatu lodge ..... yaani mko chumbani ndo anajua anatembea na ANDUNJEEE
Listen my guy, kuna kitu nimekiona hapo.....seems you're so desperate na mapenzi, that's the reason why unawakosa wanawake hasa unaowahitaji wewe, never show how much you are in need of someone, live your life, mind your own fuckn business, JIPENDE brother JIPENDE! , fanya maisha, jijenge kiuchumi, warembo watakuja tu (wife materials, slay queens) i swear utawakimbia...when you're in the process of buildling yoself lust ikizidi tafuta malaya piga then pita vile.Za wakati huu wanajukwaa......naomba kupata uzoefu wenu haswa kwa wale wanaume wenye sifa hizi
1. Short (wafupi) futi 5.6 kushuka chini
2. Broke(wenye kipato cha papatu papatu)
#upambanaji mwingi
3. Black(weusi)
Mlifanikiwa vipi kupata wenza(wake,mzazi mwenzio,mpenzi kawaida nk).
Kwa maana mpaka naandika uzi huu ubao kwangu unasoma bilabila na bado kurasa 3 tu. Niingie 3rd chapter
Na kiukweli nimequit mahusiano ila nikipiga mahesabu naona natengeneza bomu kubwa sana uko mbeleni
Uzoefu sina kabisa maana sijawai attempt nikakubaliwa mpaka sasa nimekataliwa mala 47 nihatari toka sekondari ni spana tu mpaka leo.
Natamani nijifunze kutoka kwenu ili nijirekebishe inawezekana mimi ndio mwenye matatizo na siyaoni.
View attachment 2964710
Endelea kuiboreshaKaka ninavyojiona bustani ipo lakini najiuliza kwanini vipepeo hawaji
Word๐Listen my guy, kuna kitu nimekiona hapo.....seems you're so desperate na mapenzi, that's the reason why unawakosa wanawake hasa unaowahitaji wewe, never show how much you are in need of someone, live your life, mind your own fuckn business, JIPENDE brother JIPENDE! , fanya maisha, jijenge kiuchumi, warembo watakuja tu (wife materials, slay queens) i swear utawakimbia...when you're in the process of buildling yoself lust ikizidi tafuta malaya piga then pita vile.
Bangida thanks man....huwa namwambia mtu ukweli kuhusu mimi nakama yupo tayari kuwa mama watoto wangu maana nipo nje ya muda lakini wanakataa mala zoteYawezekana hapa tunahangaika kishauri lakini kumbe huenda hujui kupiga mistari a.k.a kutongoza.
Maybe ungeweka hapa style yako ya kupiga verse maana wadada wako kibao humu ndani watakushauri unakosea wapi.
Kingine, nobody should tel u kua tafuta low quality chicks, ukiendekeza huko utakua soro tu na utakosa confidence ya pisi kali.
Chagua dem unamuelewa, imbisha, akiruka heri, akitiki kanyaga.
Hapo ndo unakosea.Bangida thanks man....huwa namwambia mtu ukweli kuhusu mimi nakama yupo tayari kuwa mama watoto wangu maana nipo nje ya muda lakini wanakataa mala zote
Mimi nina aminigi ukweli humuweka mtu huru ndio maana nawaambiaga straight forward ....kwaio iyo sio nzuri kabisa i was wrong kiukweliHapo ndo unakosea.
You sound desperate mpaka hapo.
Mwanamke hutakiwi kumueleza shida zako maana ye ana zake Hadi zinajaa.
Unatakiwa umuonyeshe reasons za kwanini akuchague wewe over others or over alienae at the moment.
Unanishauri nianze kununua mapenzi labda nitafanikiwa
Bangida thanks man....huwa namwambia mtu ukweli kuhusu mimi nakama yupo tayari kuwa mama watoto wangu maana nipo nje ya muda lakini wanakataa mala zote
Nielekezeni mm ndio huwa nafanya straight out loudDuuh wewe jamaa unazingua
Yaani mtu hata hamjafahamiana unaanza kumwambia habari za kuwa mama watotoโฆ. Mambo hayapo hivyo mkuu