love

Whaaaaat????
Embu andika hiyo sentence
Kwa Kiswahili...
 
Noo! LOVE IS A GAME IN WHICH BOTH PLAYERS DO CHEAT.
kazi ipo.love ina definition nyingi tu.kwangu mimi mapenzi ni kizunguzungu.yakikukolea yana raha ya ajabu,ila ikila kwako maumivu yake ni mabaya mno
 
kazi ipo.love ina definition nyingi tu.kwangu mimi mapenzi ni kizunguzungu.yakikukolea yana raha ya ajabu,ila ikila kwako maumivu yake ni mabaya mno
maumivu yake yakoje.........
 
maumivu yake yakoje.........
maumivu yake unajihisi kuumwa si kuumwa,utajiuliza why me?appetite ya kula inaondoka,au kama mtu wa diet,diet unaiacha unafakamia vyakula bila mpangilio.kama ni mtu wa kujipamba,mapambo unayaweka pembeni,kama sio mtu wa pombe,ndio utaanza kujifunza kunywa.mawazo yatakujaa kichwani bila kujua unawaza nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…