Sure mkuuu ukuangalia nayeye kaulizwa y unakataa wamara na sumbawanga amesema ,,everyone has I his or her priorities ,,NAMM NIMSHUKURU SANA MAANA WENDA TUNGEKUBALIANA VIZURI ALAFU MWISHO NIKAJA KUTA HANA MZIGO NIKAMUUMIZA BURE [emoji115] [emoji119] [emoji23] [emoji23] .
Kiukweli ,,Unapooa mwanamke hakikisha kuanzia tabia zake mpaka uzuri waumbo amekidhi mahitaji yako yaaan mpaka kucha ziwe zinakuridhisha ...mmhhhhhh mie bana tukiachilia mbali tabia ,,napenda mwanamke mnene ( au aliyena asili yaunene najua nikimlisha atakua mnene) na mwenye makalio nahips zahaja ,na maziwa yalojaa !!.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kila mtu nikupambana nahali yake mkuu mpaka ufanikishe.